Meelekezo kuhusu Tanzanian Blog Awards

Okay someone told me to put this post peke yake ......ni kuwa kuna uwezekano mkubwa kuwa mwaka huu ndio mwisho wa kufanya shindano letu jinsi tunavyofanya. Mwaka kesho hili shindano litaondoka kutangaza washindi online na kuwa active (for profit)  na ceremony either ikafanyikia Dar es Salaam au mji wowote uatakaoonekana unafaa kufanya sherehe ya kuwatangaza washindi hao...Kuna offers kadhaa ziko mezani hivyo kama kila kitu kitakua kama kilivyopangwa mwaka kesho watu watapewa awards zao katika ceremony itakayofanyikia katika ukumbi maalumu kwa shughuli hiyo na wanaotaka kuchukua hili shindano wanasema wanawafadhili ambao wameshaonyesha nia ya kuwasupport.

The only thing tunachotaka na negotiate zetu mpaka sasa ni kuwa shindano letu libakie na malengo ya shindano hili kama yalivyokua mwanzoni. Kuwa ni kuwatangaza bloggers wakitanzania wote bila kujali wanakoishi, status zao, education zao, income, dini zao etc etc...

Hivyo mpaka sasa 80% chances ni kuwa shindano hili mwaka huu ni wa mwisho kufanyika kama tulivyokua tunafanya kwa miaka hii mitatu sasa na kusimamiwa na sisi...Kuna waliokua wnanataka kulipeleka shindano hili katika association ya watanzania lakini kuna wengine wamekuja na offer na hawataki mambo ya association. Hivyo inavyoelekea association ikianza itakua peke yake na hili shindano litaendelea kuwa stand alone kipekee na halitahisishwa na associaion yeyote na litakua kwenye mikono na uongozi wa watu  wengine....

We love you and will surely miss you guys ....but we hope hapo mwakani watakapokamilisha mambo yote na kujua mahali litakapofanyikia tutaweza kuja na kuweza kufahamina na bloggers wengi ambao tumekua tukiwasiliana nao often... It was a bumpy ride but it sure beats standing still. It was for the LOVE of the country that is why we made it this far.....

No comments: