elimu ya juu Tanzania
Blog hiyo inajulikana kama TZ Campus Vibe www.tzcampusvibe.wordpress.com Ipo kwenye Face book pia kwa jina hilo hilo
MADHUMUNI YA BLOG.
Kuhabarisha, kuelimisha na kuburudisha wanafuniz pamoja na jamii kiujumla juu ya maswala mbalimbali
yanayohusu wanafunzi wa elimu ya juu Tanzania ambapo watapata fursa yakuelezea mambo yatakayosaidia
kuendeleza jamii. Wanafunzi na jamii kiujumla inakaribishwa katika kutoa habari, maoni ushauri pamoja na kutangaza sherehe na matukio yanayotokea au yanayotarajia kutokea vyuoni au hata nje ya vyuo lakini yakiwahusu wanafunzi.
2 comments:
Beautifully written blog post. Delighted Im able to discover a webpage with some insight plus a very good way of writing. You keep publishing and im going to continue to keep reading.
Good idea! Its me, student at UDOM.
Post a Comment