Jinsi ya kufanya
1. Nenda kwenye Dashboad ya blog yako.
2. Ingia kwenye Design.
3. Nenda kwenye Edit HTML
4. Back up template yako kabla hujafanya chohote...Unaweza kukopy na kupaste kwenye note pad au kudownload kwenye hard drive yako.
5. Tafuta haya maneno kwenye template yako. Kwa urahisi tumia Ctrl+F kuyatafuta....
< title>< data: blog. pageName/> | |
6. Copy haya maneno hapa chini na uweke china ya hiyo line hapo juu.
< meta expr:content='data:blog.pageName' name='description'/ > |
Basi save na umemaliza.
Sasa hii ina maana mtu yeyote atakayekua anasearch kwenye blog yako kwenye google au search engine yeyote ataona jina la blog yako na maelekezo ya kitu anachotafuta kwenye description kutoka katika post yeyote ile. Na utawapita wale wanaoonyesha neno moja moja tu. Sasa maelezo yako kama ni hayo anayotafuta atavutiwa kuingia na kusoma zaidi kwa vile mtari mzimautakua umeonekana hapo.
Ingawaje ukishaweka itachukua kama masaa kadhaa kabla ya kufanya kazi.
Hizi tag kama utaweka vizuri zitaafanya kazi kwney blogger ila nadhani zinaweza kufanya kwenye platform yeyote ile kwa vile zina generate search kutoka kwenye title.
No comments:
Post a Comment